emblem

TANZANIA INDUSTRIAL RESEARCH AND DEVELOPMENT ORGANIZATION

TIRDO for sustainable industrial development
NEW
TRAINING
Sustainable Biomass Briquettes Production for Clean fuel and Livelihood
📅 17-21 August 2026 Fee TZS 200,000/- 📍 TIRDO, Kimweri Avenue, Msasani

Register now for hands-on training on clean fuel production and livelihood skills

Register Now --->

News

Mhe. Dkt. SELEMENI JAFO (Mb) ATEMBELEA TIRDO, AAGIZA UKAMILISHAJI MFUMO WA UTAMBUZI WA FURSA ZA VIWANDA NCHINI

  • 2024-07-22 19:38:53

Article Image

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Said Jafo (Mb) amefanya ziara ya kutembelea shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu kuteuliwa katika Wizara hiyo tarehe 2 Julai 2024. Mhe. Dkt.Jaffo ametoa maagizo ya kukamilika kwa mfumo wa ukusanyaji na utambuzi wa fursa za Viwanda nchini (National Industrial Information Management System - (NIIMS) unaosimamiwa na TIRDO chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara katika mwaka huu wa fedha kabla ya kufika Juni 2025 ili taarifa hizo ziweze kuleta manufaa kwa sekta ya Viwanda na taifa kwa ujumla.